Natafuta mchumba (girlfriend)

dah...afadhali nimekupata....hata mimi nilikuwa natafuta......nina miaka 48....watoto 6......
 
Go for her mzazi, waliozaa wanakuwa wametulia sana na akili zimepevuka!
No stress.
 
natafuta mchumba i mean girlfriend who is honest and faithful
wewe umeshapata kiwanja mabwepande sasa unatafuta wa kukuchuna,haya bana sikuhizi hawa shughuli ni moja tuu kuchuna na ukiishiwa huwaoni,ukitaka kuamini kama hakuna mapenzi muambie swala la kuzaa utaona anavyoruka kimanga!!!
 
wewe umeshapata kiwanja mabwepande sasa unatafuta wa kukuchuna,haya bana sikuhizi hawa shughuli ni moja tuu kuchuna na ukiishiwa huwaoni,ukitaka kuamini kama hakuna mapenzi muambie swala la kuzaa utaona anavyoruka kimanga!!!

kweli tired of being fooled..lol,pole.
 
utapata usijali ile omba Mungu manake mafisadi wa mapenzi wako wengi ila tu na wewe usije kuwa m1 wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom