Natafuta mbegu za vitunguu

WENYELE

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
1,415
1,379
Wakuu mwaka huu nimeamua kulima vitunguu,natafuta mbegu bora za kupanda kwenye vitalu mwishoni mwa mwezi huu.

Mimi niko Moshi kama unazo ni-PM tufanye biashara.
 
Kama ni mbegu tu, mfano Jambar F1, Red Bombay, au Neptune F1 etc, Fika Kibo trading Moshi, juu kidogo ya NMB bank mandela brach, kama unaenda soko la kati.

Kila lakheri

Wakuu mwaka huu nimeamua kulima vitunguu,natafuta mbegu bora za kupanda kwenye vitalu mwishoni mwa mwezi huu.
Mimi niko moshi km unazo ni-PM tufanye biashara
 
ENDAPO KILA KITU KITAKUWA COSTANT (, UMEWEKA LISHE YA KUTOSHA, MAJI, UMEDHIBITI MAGUGU, UMETIBU WADUDU NA MAGONJWA), HUKOSI GUNIA 70 ZA KILO 140 NA KUENDELEA, ILA KAMA HUDUMA NI MBOVU, HATA GUNIA 20 UNAWEZA USIPATE, MAANA HIZO F1 NI HEAVY FEEDER
Neptune F1 unavuna tani ngapi kwa heka?
 
ENDAPO KILA KITU KITAKUWA COSTANT (, UMEWEKA LISHE YA KUTOSHA, MAJI, UMEDHIBITI MAGUGU, UMETIBU WADUDU NA MAGONJWA), HUKOSI GUNIA 70 ZA KILO 140 NA KUENDELEA, ILA KAMA HUDUMA NI MBOVU, HATA GUNIA 20 UNAWEZA USIPATE, MAANA HIZO F1 NI HEAVY FEEDER
Mara ngapi mfululizo unaweza kulima kitunguu kabla ya kubadilisha mazao? Na kuna mazao mengine ya kubadilisha zaidi ya mahindi na Maharage?
 
UNAPASWA KILA MSIMU UBADILISHE MAZAO, KAMA UMEPANDA MAZAO JAMII YA GALLIC KAMA HICHO KITUNGUU, UKIVUNA WEKA NYANYA, UKIVUNA WEKA MATIKITI, UKIVUNA WEKA MAHINDI, KIKUBWA ZAO UNALOWEKA LISIWE NA JAMII MOJA, SIYO UTOE NYANYA UWEKE HOHO, AU UTOE HOHO UWEKE VIAZI MVIRINGO HIVYO VYOOTE (NYANYA, HOHO, VIAZI MVIRINGO) NI JAMII MOJA SOLANACEAE, SO KAMA MSIMU ULIOPITA ULIKUWA NA MAGONJWA AU WADUDU FULANI THEN UKARUDISHIA ZAO LINALOFANANA NA ULILOTOA MEANS UNA ACCELERATE MAZALIANO YA WADUDU NA MAGONJWA, KILA MSIMU UWE NA JAMIII TOFAUTI YA MSIMU ULIOPITA.

Mara ngapi mfululizo unaweza kulima kitunguu kabla ya kubadilisha mazao? Na kuna mazao mengine ya kubadilisha zaidi ya mahindi na Maharage?
 
Wakuu mwaka huu nimeamua kulima vitunguu,natafuta mbegu bora za kupanda kwenye vitalu mwishoni mwa mwezi huu.
Mimi niko moshi km unazo ni-PM tufanye biashara
Ulishapata mbegu? Na Mimi natafuta
 
Samahani wakuu naomba kuuliza nimekuwa nikitamani kulima zao hili kwa muda mrefu na mimi niko mwanza je, zao hili naweza lima mwaza? Au lina maeneo ambayo linakubali tu? Naomba msaada juu ya hili
 
Back
Top Bottom