Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Horsepower.mbona watu wanatangaza kutafuta wapenz na wa wake? sijaona tatizo mi kutafuta rafiki. sidhani km kila kinachoandikwa jf ni lazima kiwa cha kujadili. kwa mfano watu wanatoa jokes utadiscuss nini?
ar u he or she?
kutaka wadada tu nawasiwasi na wewe si sehemu yake hii nenda fb mkatafutane huko
Sasa vigezo vya nini kama unatafuta rafiki tu?
wakubwa vp kuhusu kutumi tena internet bure kwa ku hark line?
Kaka sema unataka vibinti vya kuvichakachua.