Natafuta marafiki wa kiroho.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,822
Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.
 
heri waliokamili njia zao,
waendao katika sheria ya BWANA ...Zab 119
 
Naona hii itakuwa sawa na Mwanafunzi kurushwa madarasa kutoka STD 1 hadi STD 7.
 
nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.
haleluuuuuuuuya.
 
Naona hii itakuwa sawa na Mwanafunzi kurushwa madarasa kutoka STD 1 hadi STD 7.

Mkuuuu!!! anajua katika methali imeandikwa:
Ajitengae na wenzake, huyo hutafuta matakwa yake binafsi
\hushindana na kila shauri jema!!

Buji hebu rudi wafuate wenzako wapo pale rose garden wana-do ze nedful kwenye gordon
 
Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.

hongera kwa kufunuliwa na bwana!... ila chunga tu shetani asije akakufunika!!!
 
Nenda Tanganyika Packers utakuta kanisa kubwa la Glory of Christ pale ndani. Utapata marafiki wengi na utaachana na tabia zote mbaya. nenda hata asubuhi utawakuta wachungaji watakusaidia.
 
Kanisa lolote linalokiri wokovu wa Bwana na kuzikubali nguvu za Roho wake ingia hapo. Wote waliopo mahali hapo ni ndugu na dada zako na hivyo ni rafiki. Ubarikiwa Buji kwa maamuzi ya busara, ningelikuwa Bongo kwa sasa ningekupa company. pdidy vipi umeiona hii post?
 
Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.

kaka usifanye utani kwenye neno la mungu - sidhani kama umeamua kuokoa kweli.
 
OOOh Amen. Nitafute mimi namba zangu unazo twende tukaihubiri injili ya bwana kwenye mataifa na yamjue Mungu mwenyeenzi
 
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.

Heri Mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki; wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha; Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo; Na sheria yake huitafakari mchana na usiku; ................................ZABURI 1: 1-2 . Kama kweli umeamua inabidi uvunje vikao na mabaraza yote ya kilevi.... etc.
Marafiki tu?? YESU ni Rafiki yako namba moja - yeye hana kigeugeu wala habadiliki - usijisikie mpweke - kuwa na muda wa Kusoma Biblia, anza kuomba na kuombea wengine; anza kumsifu Mungu kwa nyimbo, etc. na anza kuhudhuria vipindi mbali mbali Kanisani - anza kusikiliza Gospel songs kwenye dvd yako kama unayo - anza kusikiliza radios kama WAPO radio na PRAISE Power - eventually Mungu atakupa marafiki wema wenye imani sawa nawewe - na hapa JF naamini wapo wengi tu .... Mungu akubariki sana - karibu kwenye UFALME WA MUNGU
 
amen ubarikiwe sana umefanya maamuzi mazuri ambayo utajuta maishani mwako. kuhusu marafiki umefanya jambo la maana kutafuta kwani marafiki si kwalazima ni kwa kuchagua natumaini kama umeokokea kanisa la kiroho simama hapo hapo na utapata marafiki wema watakoendana na imani yako ubarikiwe
 
Barikiwa na bwana YESU! Pale Dar es Salaam Pentecostal Churh Kinondon karibu na soko la TX huwa kuna Kusifu na kuabudu kila siku ya jumapili ya mwisho wa mwezi. Hubu tembelea siku moja nawe huta kaa usahau uzuri wa bwana!
 
hongera kwa kufunuliwa na kujua umuhimu wa kuongozana watu wanaotii amri za mungu,cha msingi wape taarifa marafiki zako wa zamani,kuwa unaingia ktk mstari wa waamcha mungu,labda utapata kondoo wa kuambatana nao,
usiwe mlokolowe wa kunyáta ,kwani bwana alisema wanaomuonea haya hapa duniani naye hatowatambua muda ukifika
amen, and may god guide you in every step u take towards his kingdom
 
kaka usifanye utani kwenye neno la mungu - sidhani kama umeamua kuokoa kweli.

Usimkatishe tamaa wala usimhukumu.Kwa waliookoka ni jambo la kawaida sometimes kuzongwa na mambo ya zamani.Kujazwa Roho wa Bwana mpaka matunda yatokee its a process kama vile ambavyo matunda huwa yanapandwa mpka kukomaa.Buji2 umefanya sahihi.endelea mbele na ongeza bidii utashinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom