Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Nimekuwa naipitia thread yako kuangalia vijana wangu wanavyokukaribisha nimefurahi walivyokuonesha ukarimu.
Mimi ndio kitovu cha mapenzi kwa wana jf wote wa hapa Arusha. Ukiwasiliana na mimi utapata mapenzi na urafiki utakaokufanya ufurahie uwepo wako hapa Arusha. Ni PM nikupatie mawasiliano yangu ili uanze kupata raha za jiji!. Karibu sana mpz!
Mimi ndio kitovu cha mapenzi kwa wana jf wote wa hapa Arusha. Ukiwasiliana na mimi utapata mapenzi na urafiki utakaokufanya ufurahie uwepo wako hapa Arusha. Ni PM nikupatie mawasiliano yangu ili uanze kupata raha za jiji!. Karibu sana mpz!