Natafuta mama wakunilea

Hehehe,, yaan wewe mwisho ? Umeamua kujifanyia advitise mwenyeooo kijana ,hongera
 
Kijana unataka kua baloteri? Umarioo mbaya fanya kazi,unataka kulelewa unajua kupiga game?? Mtu mwenyewe one minute man halafu unataka kulelewa utaliwa ndogo ohhoooooo!!
 
Kuna shuga mamy mmoja namjua anapenda ndogo ndogo lakini hana hela.. Shes a broke ass fat lady nikuunganishie
 
mahar yako shilingi ngapi, una sifa zp, a mean physically, shughuli waiweza weyeeeeeee......lol
 
halafu ukiolewa ulazimishe kuheshimiwa mwanaume kichwa cha nyumba..we wa ajabu kweli!! hebu fikiria uanaume wako zaidi ya kuvaa suruali!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
imagine unawaza una mtoto wa kiume badala akasafishe banda la ng'mbe anawaza kulelewa, jamani kiama kinafika lini sijui.

Hahahahahah lol! Mwache apende vya dezo...mjini hapa watu hawakawii kujinafasi kwa raha zao
 
imagine unawaza una mtoto wa kiume badala akasafishe banda la ng'mbe anawaza kulelewa, jamani kiama kinafika lini sijui.

Ndio maisha bora kwa kila mtanzania nadhani..
Wanaume wanaomba kuolewa..lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom