Mbona LT za kumwaga siku hizi huhitaji kutafuta zipo mya ,mitumba na kadhalika,ukienda kariakoo zipo kibao na zina specs kama ulizotaja,bei makubaliano,pia pale Ubungo Shekilango millenium bussiness park kuna maduka kama matatu hivi napo zipo za kumwaga ni wewe na vijisenti vyako tu,au uko mkoa kaka?
Ewa ukitokea Sinza kama unaelekea mjini uakata kona kwenye barabara ya Morogoro kuelekea mjini upande wa kulia kuna ofisi nyingi kwenye hilo jengo kubwa nafikiri linapakana na kiwanda cha nguo cha urafiki zamani kama sikosei palikuwa kiwanda cha nyavu,hapo kuna kampuni kama tatu zote wanauza kompyuta ni kompyuta murua ,pia kuna ofisi za bata shoes,dar express,mohmed trans na gazeti la Raia MwemaMfianchi tafadhali toa maelekezo kidogo kuhusu hiyo millenium business ilipo make hata mimi nina shida sana na laptop mtumba. Ni barabara ya shekilango au ni barabara ya morogoro? Asante sana kwa msaada wako.
Ewa ukitokea Sinza kama unaelekea mjini uakata kona kwenye barabara ya Morogoro kuelekea mjini upande wa kulia kuna ofisi nyingi kwenye hilo jengo kubwa nafikiri linapakana na kiwanda cha nguo cha urafiki zamani kama sikosei palikuwa kiwanda cha nyavu,hapo kuna kampuni kama tatu zote wanauza kompyuta ni kompyuta murua ,pia kuna ofisi za bata shoes,dar express,mohmed trans na gazeti la Raia Mwema
Mbona LT za kumwaga siku hizi huhitaji kutafuta zipo mya ,mitumba na kadhalika,ukienda kariakoo zipo kibao na zina specs kama ulizotaja,bei makubaliano,pia pale Ubungo Shekilango millenium bussiness park kuna maduka kama matatu hivi napo zipo za kumwaga ni wewe na vijisenti vyako tu,au uko mkoa kaka?
Karibu hilo nalo nenoNashukuru sana. Pamoja na kuwa mara nyingi nimekuwa nikipita mitaa hiyo sikuwa nimebahatika kuona hicho kitu. Asante sana kwa info muhimu nitapita niangalie kama naweza kubahatisha.