Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
Wakuu naomba mnishauri kwa shilingi Milioni 3 naweza pata kiwanja kizuri maeneo gani? Angalau kisiwe pembeni sana ya DSM ukubwa usiwe chini ya 20x20.
Je inawezekana kumpata mtu anayeuza kiwanja pasipo kupitia kwa dalali?
Wazoefu naomba mnisaidie.
Je inawezekana kumpata mtu anayeuza kiwanja pasipo kupitia kwa dalali?
Wazoefu naomba mnisaidie.