Nyamtala Kyono
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 163
- 34
KAMA kichwa cha habari kinavyosema hapo juu...kiwe ndani ya mji au nje kiduchu ya mji
habari ndo hiyo
habari ndo hiyo
kikiwa kimepimwa ni nzuri zaidikilichopiwa au ambacho hakijapimwa?
jamii,hivyo vinavotaka kupimwa si tayari viko kwenye mpango tayari? sasa mtu akinunua wakati vimewekwa kwenye mpango si ndo mwanzo wa kuuziwa kiwanja ambacho kimeshakuwa allocated tayari halafu ukaja kuingia kwenye ugomvi na aliyepewa na mamlaka, huku yule aliyekuuzia kienyeji ameshatokomea?just inbox me your contact kuna mtu atakutafuta muwasiliane..kiwanja kiko maeneo ya nyakato hakijapimwa bado ila nadhani jiji watakwenda kupima siku si nyingi bei 2.5 Mill
Nitafute kwa Namba hii 0717-706259.kiwanja kipo Kiloleni.kina umeme na maji hichi ni uhakika.