HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Habari ndugu zangu,
mimi ni mfanyakazi wa taasisi, nimepangwa kuenda kufanya kazi mtwara. nimepata kapesa kidogo nataka nikifika nikae miezi 6 nitafute eneo zuri nijenge na ntajishughulisha na shughuli mbalimbali maana nina resources kiasi(human and financial resources)
shida yangu ninaomba kwa anayeijua mtwara mjini, anielekeze maeneo yanayouzika na mazuri kwa kipindi hiki. nilishafika last month na nimepata nyumba ya kupanga BUT very expensive Mtwara! nyumba chache but watu wengi sana.
nimepata nyumba maeneo ya KIYANGU.
mimi ni mfanyakazi wa taasisi, nimepangwa kuenda kufanya kazi mtwara. nimepata kapesa kidogo nataka nikifika nikae miezi 6 nitafute eneo zuri nijenge na ntajishughulisha na shughuli mbalimbali maana nina resources kiasi(human and financial resources)
shida yangu ninaomba kwa anayeijua mtwara mjini, anielekeze maeneo yanayouzika na mazuri kwa kipindi hiki. nilishafika last month na nimepata nyumba ya kupanga BUT very expensive Mtwara! nyumba chache but watu wengi sana.
nimepata nyumba maeneo ya KIYANGU.