natafuta kitabu hiki nisaidieni

Mopalmo

JF-Expert Member
Nov 11, 2010
533
138
wana jf natafuta kitabu cha kikristo kinachoitwa neema yangu yatosha kilichoandikwa na Ghulam Masih Naaman,mwanzo alikiandika kwa kingereza halafu kikatafsiriwa kwa kiswahili,ni cha mwaka 1997,pia natafuta vitabu vingine alivyoandika,nijulisheni ni duka gan kwa hapa Dar maarufu kwa vitabu vya kikristo
 
Nenda Efatha Bookshop Mwenge.
Wana vitabu vingi sana vya watumishi mbalimbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom