wana jf natafuta kitabu cha kikristo kinachoitwa neema yangu yatosha kilichoandikwa na Ghulam Masih Naaman,mwanzo alikiandika kwa kingereza halafu kikatafsiriwa kwa kiswahili,ni cha mwaka 1997,pia natafuta vitabu vingine alivyoandika,nijulisheni ni duka gan kwa hapa Dar maarufu kwa vitabu vya kikristo