fundibenz
Member
- Jul 31, 2015
- 61
- 66
Jabari wana jamiiforums,
Mimi ni fundi vilevile ni mmiliki wa garage inayojihusisha na kutengeneza magari ya kisasa kwa kutumia computer, tuna deal na gari za ulaya na baadhi ya kijapan.
Kama una ndugu au jamaa au rafiki aliyemaliza kidato cha nne na mwenye umri kuanzia 19 hadi 23 na hana shughuli na angetamani kujifunza basi anichek PM
Tutamfundisha kutumia computer kwa ajili ya kupima magari,kutengeneza magari hasa upande wa umeme,tutamfundisha key programming na electronics kwa ujumla.
Ntampatia nauli na chakula muda wa kazi,sitamlipa mpaka atakapoanza kumudu baadhi ya kazi.
Kwa sasa nahitaji wawili tu(mwenye utundu wa electronics atapewa kipaumbele)
hii ni kwa dar tu
Mimi ni fundi vilevile ni mmiliki wa garage inayojihusisha na kutengeneza magari ya kisasa kwa kutumia computer, tuna deal na gari za ulaya na baadhi ya kijapan.
Kama una ndugu au jamaa au rafiki aliyemaliza kidato cha nne na mwenye umri kuanzia 19 hadi 23 na hana shughuli na angetamani kujifunza basi anichek PM
Tutamfundisha kutumia computer kwa ajili ya kupima magari,kutengeneza magari hasa upande wa umeme,tutamfundisha key programming na electronics kwa ujumla.
Ntampatia nauli na chakula muda wa kazi,sitamlipa mpaka atakapoanza kumudu baadhi ya kazi.
Kwa sasa nahitaji wawili tu(mwenye utundu wa electronics atapewa kipaumbele)
hii ni kwa dar tu