Nimemaliza k/4 nimefeli natafuta kazi naomba mnisaidie.
Hta kwetu wapo ndyo zmenishnda hzo
Nimemaliza k/4 nimefeli natafuta kazi naomba mnisaidie.
Tafuta hela anza biashara achana na mambo ya shule sio fani
Biashara yeyote hata kupaka rangi za kucha inalipa, imagine unapata up to 50,000 per day kama una mkono mzuri wa kupaka rangi kucha