Kazi yoyote ndio kazi ipi sasa? Hebu jieleze zaidi upo mkoa gani na elimu yako.Me nikijana umri wanguu 23 ni mtoto wakwanza nayetegemewa kwenye familia duni niliyotoka naombeni msaada niji patie kazi yyte nitaimudu nakupenda na ndo atakuwa mke kwangu waungwanaaa tusaidianee
Tafadhali mkuu mpatie kazi huyu kijana mwenzetu.Unaweza kuishi kijijin? Nina mradi wa ufagaji kuku nahitaj mtu makin mwenye uchungu wa maisha, kama upo serious na unaweza kufuga kuku njoo pm. Sehemu n kilimahewa mkuranga pwani
Una valid driving licence?tabata biashara naweza computer kuendesha gariii
Tafadhali mkuu mpatie kazi huyu kijana mwenzetu.
Unatafuta kazi unatafuta mke?Me nikijana umri wanguu 23 ni mtoto wakwanza nayetegemewa kwenye familia duni niliyotoka naombeni msaada niji patie kazi yyte nitaimudu nakupenda na ndo atakuwa mke kwangu waungwanaaa tusaidianee
Unaweza kuishi kijijin? Nina mradi wa ufagaji kuku nahitaj mtu makin mwenye uchungu wa maisha, kama upo serious na unaweza kufuga kuku njoo pm. Sehemu n kilimahewa mkuranga pwani
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha hana mke pia nitashukuru
Acha utani hebu tafuta kimoja baada ya kinginena mkèee pia nitashukuru