Natafuta kazi

smati

Senior Member
Dec 24, 2010
149
5
Qualifications ZANGU.

1. Bachelor in computer science/ information systems
2. Data bases ( oracle, my sql, postgress, with good knowledge of sql server).
3. Programing ( java, jsp, j2ee, c/c++, algorithms).
4. Good knowledge of computer networks ( switch, routers )..
5. Good knowledge of information systems security.
6. Good knowledge of computer maintenance procedures.

Level: Entry.

PLEASE PM ME IF YOU HAVE ANY VACANCE.
Thank you.
 
Kijana jaribu kuwa specific ni wapi umespecialize au ni wapi unafikiri unaconfidence u can do something coz unaonekana ni graduate 'tusameheane endapo nitakuwa nimekudhania vibaya' na hivyo vitu ulivyooutline ni vitu vinene ambavyo unaweza ukacommand mils kadhaa na watu "interviewer"wasikushangae. Usije weka tu kwenye CV kama tulivyozoea ukaanza kutoa macho kwenye usaili mara ooh! tulisoma chuo lakini sijavifanyia kazi ukaanza kutoa ahadi ya kuvifanyia kazi.
Karibu kwenye soko la ajira la bongo baba, kaza mkwiji utawini lakini subra inahitajika.
Ahsante.
 
Kijana jaribu kuwa specific ni wapi umespecialize au ni wapi unafikiri unaconfidence u can do something coz unaonekana ni graduate 'tusameheane endapo nitakuwa nimekudhania vibaya' na hivyo vitu ulivyooutline ni vitu vinene ambavyo unaweza ukacommand mils kadhaa na watu "interviewer"wasikushangae. Usije weka tu kwenye CV kama tulivyozoea ukaanza kutoa macho kwenye usaili mara ooh! tulisoma chuo lakini sijavifanyia kazi ukaanza kutoa ahadi ya kuvifanyia kazi.
Karibu kwenye soko la ajira la bongo baba, kaza mkwiji utawini lakini subra inahitajika.
Ahsante.

Mr mathematician, nashukuru kwa ushauri wako. sio kwamba ni expert ni graduate . hivi nilivyo viandika hapa ninaufahamu navyo na nimevitendea kazi kwa namna moja. Ndio maana nimesema natafuta entry level. Asante tena kwa ushauri wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom