Natafuta kazi
Member
- May 10, 2012
- 31
- 1
Kwa mara ingine najitokeza hapa naombeni mnisaidie ni wapi naweza pata kazi,nina degree na nimefaulu vizuri tu ila sijafanikiwa kupata kazi.
naomba mwenye uwezo wa kunisaidia anisaidie jamani,nimesoma kozi za uchumi pia nimeshawahi fanya kazi kwenye microfinance.
mwenye kuguswa na tatizo langu aniPM na ninataguliza shukrani.
naomba mwenye uwezo wa kunisaidia anisaidie jamani,nimesoma kozi za uchumi pia nimeshawahi fanya kazi kwenye microfinance.
mwenye kuguswa na tatizo langu aniPM na ninataguliza shukrani.