Blessingme
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 250
- 52
Hi, mim ni graduate wa mwaka jana 2010, 25yrs of old.
Natafuta kazi yeyote ambayo naweza kuifanya kwa ufanisi zaidi. Kiufupi ni muhitimu wa kozi ya biashara upande wa ununuzi na ugavi (BA-procurement and supply mgt), uzoefu tangia nimemaliza ninafanya family business bt in small scale, na nimejisajili kwenye procurement and supplies professionals and technicians board, stage 4 for professionals na nimefanya mitihani hiyo ya board, ni graduate wa Sua college ya moshi yaani muccobs.
So naweza fanya kazi ya professional yangu na nyingine kama marketing, loan officer, bank teller, monitoring and research officer, SACCOS management, program officer etc, ningependa yeyote mwenye msaada, information au ushauri na mchango wowote ani PM. Note ctapenda mtu aniambie nijiajiri mwenyew coz had naandika hapa inamaana hilo wazo limeshindikana.
Thanx
Natafuta kazi yeyote ambayo naweza kuifanya kwa ufanisi zaidi. Kiufupi ni muhitimu wa kozi ya biashara upande wa ununuzi na ugavi (BA-procurement and supply mgt), uzoefu tangia nimemaliza ninafanya family business bt in small scale, na nimejisajili kwenye procurement and supplies professionals and technicians board, stage 4 for professionals na nimefanya mitihani hiyo ya board, ni graduate wa Sua college ya moshi yaani muccobs.
So naweza fanya kazi ya professional yangu na nyingine kama marketing, loan officer, bank teller, monitoring and research officer, SACCOS management, program officer etc, ningependa yeyote mwenye msaada, information au ushauri na mchango wowote ani PM. Note ctapenda mtu aniambie nijiajiri mwenyew coz had naandika hapa inamaana hilo wazo limeshindikana.
Thanx