Natafuta kazi yoyote halali

lucida

Member
Jul 6, 2016
18
9
Mimi ni binti wa miaka 20, naishi tabata dar es salaam....elimu ya ngu ni kidato cha nne,.natafuta kazi yoyote itakayoweza kunipa kipato.. ninajua kutumia computer ( Word, Exel, power point, publisher and Internet) nlisoma DIT(Dar es laam Institute of Technology) lwa yeyote anaewwza kunsaidia kupata kaz npo tayar kufanya kazi yoyote

natanguliza shukran zang za dhat na mungu awabariki
 
Bado unahitaji kazi? Nina kazi ila lazima nifike unapokaa kuongea na mdhamini wako direct
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mimi ni binti wa miaka 20, naishi tabata dar es salaam....elimu ya ngu ni kidato cha nne,.natafuta kazi yoyote itakayoweza kunipa kipato.. ninajua kutumia computer ( Word, Exel, power point, publisher and Internet) nlisoma DIT(Dar es laam Institute of Technology) lwa yeyote anaewwza kunsaidia kupata kaz npo tayar kufanya kazi yoyote

natanguliza shukran zang za dhat na mungu awabariki
Kwa umri wako huo kuwa makini sana maana kuna mapapa upanga humu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom