Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
Nina elim ya shahada (BEDSN) natafuta kaz ya ualim kwa muda. Nafundisha masomo ya art.
Nina elim ya shahada (BEDSN) natafuta kaz ya ualim kwa muda.
Kwa muda? Baada ya hapo uende wapi?
hvi kazi ya ualimu nayo ni ya kutafuta kweli! acha hizo ndugu we nenda shule yoyote na vyeti vyako wala huitaji usaili.
kusoma
Nina elim ya shahada (BEDSN) natafuta kaz ya ualim kwa muda. Nafundisha masomo ya art.
njoo toronto, waalimu wanalipwa vizuri sana huku. vile vile utapata fursa ya kujiendeleza kielimu zaidi bila usumbufu wowoteNina elim ya shahada (BEDSN) natafuta kaz ya ualim kwa muda. Nafundisha masomo ya art.
njoo toronto, waalimu wanalipwa vizuri sana huku. vile vile utapata fursa ya kujiendeleza kielimu zaidi bila usumbufu wowote
shule zipo kaka, hangaika, ondoka jamvini tembea zunguka huko na huko kama uko Dar nenda shule moja hivi iko pale Sinza Kumekucha inaitwa Dar es Salaam International au Sinza Tower, watakuchukua japo pay yao ni 190,000 kwa mwezi, naongea vitu ambavyo nina uhakika navyo na hawana mkataba, ni kama maigizo fulani hivi lakini kama kweli umeshikika sana waweza jishkiza kwanza, nilipitiaga pale na I was paid the same, nimeulizia last week bado wanachukua walimu na pay yao ndio hio. Yakikushinda unatimka
toronto wapi kaka tuambiaene bacnjoo toronto, waalimu wanalipwa vizuri sana huku. vile vile utapata fursa ya kujiendeleza kielimu zaidi bila usumbufu wowote
Nina elim ya shahada (BEDSN) natafuta kaz ya ualim kwa muda. Nafundisha masomo ya art.
nenda oslo sec...ipo kibamba...hadi mwezi wa kwanza walijuwa wanalipa ''bachelors'' laki 4...sijui sasa
nenda oslo sec...ipo kibamba...hadi mwezi wa kwanza walijuwa wanalipa ''bachelors'' laki 4...sijui sasa