elia mgina
Member
- Dec 29, 2011
- 27
- 2
Hello! wana jF Salaam. natafta kazi kama mwl wa masomo ya biashara kwa maana ya ACCOUNTANCY/BOOK KEEPING, ECONOMICS & COMMERCE! Kwa yeyote mwenye shule au anaejua kwenye uhitaji wa mtaaluma wa namna hiyo naomba information. Nimehitimu Tumaini-unvst 2011> Business Administration with education (BBA-Ed) GPA iko vizuri!
Kwa yeyote atakaenipa taarifa ni kwa kupitia namba: 0752887166 au post the feedback to the wall!
####### ASANTENI! ############
Kwa yeyote atakaenipa taarifa ni kwa kupitia namba: 0752887166 au post the feedback to the wall!
####### ASANTENI! ############