Habari wana JF!
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Uuguzi na Ukunga (Nursing and Midwife) ngazi ya Cheti (enrolled nurse) kilichopo Mwanza na natarajia kuhitimu masomo mwezi wa nane mwaka huu (August 2015).
Ombi langu ni kwa yeyote anaefahamu hospitali au zahanati ambayo naweza kufanya kazi (tempo) ikiwezekana na mshahara wao ulivyo wakati nikisubili matokeo yangu ambayo yatachukua miezi miwili au mitatu.
Nnatanguliza shukrani!
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Uuguzi na Ukunga (Nursing and Midwife) ngazi ya Cheti (enrolled nurse) kilichopo Mwanza na natarajia kuhitimu masomo mwezi wa nane mwaka huu (August 2015).
Ombi langu ni kwa yeyote anaefahamu hospitali au zahanati ambayo naweza kufanya kazi (tempo) ikiwezekana na mshahara wao ulivyo wakati nikisubili matokeo yangu ambayo yatachukua miezi miwili au mitatu.
Nnatanguliza shukrani!