Mimi ni mwalimu mahiri wa chemistry na nina uzoefu wa kutosha katika kufundisha chemistry a-level na o-level,nipo dar es salaam napenda nifundishe shule za dar es salaam
mawasiliano
0717116019
Naona jina lako linataka kufanana na mtaala wa zamani aliyegundua Benzene Structure mzee KEKULE. Sina uhakika kama unaweza kufuata nyayo zake. Kila lakheri kwenye kutafuta ajira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.