Mbona JF hamtangazi kazi? Natafuta kazi Ofisi zenu za JF......kama vipi mnisaili hapa hapa....
Natanguliza shukrani za dhati.
Nasikia Painkiller yupo kwenye kamati ya uajili...lol nshatemwa..
mbona husemi unataka kazi gani?
Nasikia Painkiller yupo kwenye kamati ya uajili...lol nshatemwa..