Jamani marafiki natafuta kazi ya receptionist au customer care au yoyote inayohusika katika ofisini. Elimu yangu ni ndogo tu ni certificate ya shipping and port operation. Napenda sana kujiendeleza lkn pesa ndio tatizo! Aliye na nafasi anisaidie nina ujuzi wa computer, naweza kuitumia vizuri sana kwa kazi za osisini.
asanten kwa hayo machache
asanten kwa hayo machache