jamani nisaidieni,nimamaliza chuo mwaka jana natafuta kazi niliyotaja hapo juu,au yeyote inayofanana na hiyo kama vile MONITORING AND EVALUATION OFFICER,PROGRAMME OFFICER,ETC
thank you
jamani nisaidieni,nimamaliza chuo mwaka jana natafuta kazi niliyotaja hapo juu...........
nashukuru kaka sinyolita lakini hii wanahitaji watu wenye masters,while i have ubdergraduate degree,
hata hivyo nashukuru sana
jamani nisaidieni,nimamaliza chuo mwaka jana natafuta kazi niliyotaja hapo juu,au yeyote inayofanana na hiyo kama vile monitoring and evaluation officer,programme officer,etc
thank you