IamHumble
Senior Member
- Dec 4, 2016
- 137
- 42
Wakuu,
Kuna mtakaodhani natania au mtanitukana. Lakini heri nitangaze nia ili uwezo wa siri nilionao unisaidie wakati huu ninapoendelea kutafuta ajira.
Mimi ni Mtaalamu wa Massage & SPA, hoteli ilifungwa hivyo tukarudi majumbani na bado nimeyumba sana. Hapo nyuma hali hii ilipojitokeza, kuna mama mmoja aliyekuwa anapendelea kuja kufanyiwa Massage alitokea kunipenda hadi akanihamishia kwake.
Kwakweli nilimpa experience ambayo ni adimu kuipata mtaani au kwa wapenzi wako maana mimi nina-apply na taaluma yangu kabisa tunapokuwa chumbani. Alikuwa ananiacha nyumbani, akirudi nyumba safi, nimeshafua, nimepika (nina Certificate ya Catering/Mapishi kabla ya kuhamia kwenye SPA).
Then namuandaa kisaikolojia (kama tunavyofanyiaga wateja wetu), namkanda na kumpa Masaji...basi alikuwa anafika kileleni si chini ya mara 3 hata kabla sijamwingilia, so wakati mwingine nikawa navunga tu maana kachoka, basi tunalala. Maybe asubuhi ndo naweza kumpasha kidogo.
Tuliachana kwa amani kabisa and under her own terms, alitaka nimuoe wakati age difference ilikuwa kubwa sana kwakweli.
Sasa nimekuja kutafuta Mwanamke ambaye atanichukua tuishi wakati mie naendelea kutuma maombi ya kazi, na hata nikipata Penzi letu litaendelea tu na kwasasa niko tayari kuoa (mahari ntajitahidi kutafuta nijilipie mwenyewe).
Nitakupa mahaba, nitatunza nyumba na tutaishi kawaida kabisa wala sitajiskia vibaya kwa lolote au kuhisi kama ninalelewa...kwa mtakao sema "wewe ni mwanaume, huo sio utamaduni wetu", kwakweli bakini tu na utamaduni wenu, naamini mwanamke anaweza kubadili maisha ya mtu.
Mie ni mcheshi, ni kijana mpambanaji na ninajiheshimu. Dada/Mama kama upo na ungehitaji kampani yangu basi niPM, tuongee, tukipendana, maisha yaendelee.
Thanks.
Kuna mtakaodhani natania au mtanitukana. Lakini heri nitangaze nia ili uwezo wa siri nilionao unisaidie wakati huu ninapoendelea kutafuta ajira.
Mimi ni Mtaalamu wa Massage & SPA, hoteli ilifungwa hivyo tukarudi majumbani na bado nimeyumba sana. Hapo nyuma hali hii ilipojitokeza, kuna mama mmoja aliyekuwa anapendelea kuja kufanyiwa Massage alitokea kunipenda hadi akanihamishia kwake.
Kwakweli nilimpa experience ambayo ni adimu kuipata mtaani au kwa wapenzi wako maana mimi nina-apply na taaluma yangu kabisa tunapokuwa chumbani. Alikuwa ananiacha nyumbani, akirudi nyumba safi, nimeshafua, nimepika (nina Certificate ya Catering/Mapishi kabla ya kuhamia kwenye SPA).
Then namuandaa kisaikolojia (kama tunavyofanyiaga wateja wetu), namkanda na kumpa Masaji...basi alikuwa anafika kileleni si chini ya mara 3 hata kabla sijamwingilia, so wakati mwingine nikawa navunga tu maana kachoka, basi tunalala. Maybe asubuhi ndo naweza kumpasha kidogo.
Tuliachana kwa amani kabisa and under her own terms, alitaka nimuoe wakati age difference ilikuwa kubwa sana kwakweli.
Sasa nimekuja kutafuta Mwanamke ambaye atanichukua tuishi wakati mie naendelea kutuma maombi ya kazi, na hata nikipata Penzi letu litaendelea tu na kwasasa niko tayari kuoa (mahari ntajitahidi kutafuta nijilipie mwenyewe).
Nitakupa mahaba, nitatunza nyumba na tutaishi kawaida kabisa wala sitajiskia vibaya kwa lolote au kuhisi kama ninalelewa...kwa mtakao sema "wewe ni mwanaume, huo sio utamaduni wetu", kwakweli bakini tu na utamaduni wenu, naamini mwanamke anaweza kubadili maisha ya mtu.
Mie ni mcheshi, ni kijana mpambanaji na ninajiheshimu. Dada/Mama kama upo na ungehitaji kampani yangu basi niPM, tuongee, tukipendana, maisha yaendelee.
Thanks.