Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Naishi Mbezi kwa Msuguri,kwa kuwa soko la ajira ni gumu hapa Tz. Basi mwenye kibarua cha maana aniwezeshe i.e, kuuza duka,butcher,saloon,kazi za viwandani,na makumpuni binafsi au ya umma.
Tafadhali niko serious. Nimechoka kukaa kwa mtaa au Idle at home.
Tafadhali niko serious. Nimechoka kukaa kwa mtaa au Idle at home.