Natafuta kazi, Elimu ya Kidato cha Nne

decent girl

JF-Expert Member
Aug 11, 2015
302
139
Habari za Leo wapendwa, Mimi ni msichana mwenye miaka 24 elimu yangu ni kidato cha NNE .
Kwa heshima na taadhima naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata kaz inayoendana na elimu yangu. Nina Basic certificate ya Hotel Management .
Pia Nina uwezo wa kutumia computer . Kazi ambazo Nina uzoefu nazo ni pamoja na;
1. Receptionist( Nina uzoefu wa Mwaka mmoja na nusu).

2: Cashier kwenye gaming machines kwa mwaka 1.

3: Promo girl, sales and Promotion.

Lakini pamoja na hayo kazi zingine ambazo ni halali naweza kufanya kama usafi maofisin n.k.

NATANGULIZA SHUKRANI .

NIPO DAR ES SALAAM. MUNGU AWABARIKI SANA.
 
Habari za Leo wapendwa, Mimi ni msichana mwenye miaka 24 elimu yangu ni kidato cha NNE .
Kwa heshima na taadhima naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata kaz inayoendana na elimu yangu. Nina Basic certificate ya Hotel Management .
Pia Nina uwezo wa kutumia computer . Kazi ambazo Nina uzoefu nazo ni pamoja na;
1. Receptionist( Nina uzoefu wa Mwaka mmoja na nusu).

2: Cashier kwenye gaming machines kwa mwaka 1.

3: Promo girl, sales and Promotion.

Lakini pamoja na hayo kazi zingine ambazo ni halali naweza kufanya kama usafi maofisin n.k.

NATANGULIZA SHUKRANI .

NIPO DAR ES SALAAM. MUNGU AWABARIKI SANA.

Upo tayari kufanya kazi mkoa tofauti na Dar?
 
Kulingana na elimu yako, hauwezi kuwa unashinda nyumbani kwangu kuniangalizia nyumba?
 
mbona kazi za vigezo vyako zinatangazwa sana serikalini?huwa unakuwa wapi?

halafu ebu ziwahi hizi zilotolewa na tume ya utumishi wa mahakama...nafasi za Msaidizi wa Ofisi...wahi kabla ya deadline please.bt hakikisha umefaulu kisw,eng n math...japo kwa kiwango cha 'd'...na hata kama umefeli moja kati ya hayo masomo usiogope kujaribu.
all the best. Ahsante
 
mbona kazi za vigezo vyako zinatangazwa sana serikalini?huwa unakuwa wapi?

halafu ebu ziwahi hizi zilotolewa na tume ya utumishi wa mahakama...nafasi za Msaidizi wa Ofisi...wahi kabla ya deadline please.bt hakikisha umefaulu kisw,eng n math...japo kwa kiwango cha 'd'...na hata kama umefeli moja kati ya hayo masomo usiogope kujaribu.
all the best. Ahsante

Nashukuru sana mkuu ila naomba unisaidie link yake au jinsi ya kutuma maombi na sehemu gani
 
Habari za Leo wapendwa, Mimi ni msichana mwenye miaka 24 elimu yangu ni kidato cha NNE .
Kwa heshima na taadhima naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia kupata kaz inayoendana na elimu yangu. Nina Basic certificate ya Hotel Management .
Pia Nina uwezo wa kutumia computer . Kazi ambazo Nina uzoefu nazo ni pamoja na;
1. Receptionist( Nina uzoefu wa Mwaka mmoja na nusu).

2: Cashier kwenye gaming machines kwa mwaka 1.

3: Promo girl, sales and Promotion.

Lakini pamoja na hayo kazi zingine ambazo ni halali naweza kufanya kama usafi maofisin n.k.

NATANGULIZA SHUKRANI .

NIPO DAR ES SALAAM. MUNGU AWABARIKI SANA.

MUNGU mkuu muumba wa mbingu na nchi akusaidie ktk hitaji lako
 
mbona kazi za vigezo vyako zinatangazwa sana serikalini?huwa unakuwa wapi?

halafu ebu ziwahi hizi zilotolewa na tume ya utumishi wa mahakama...nafasi za Msaidizi wa Ofisi...wahi kabla ya deadline please.bt hakikisha umefaulu kisw,eng n math...japo kwa kiwango cha 'd'...na hata kama umefeli moja kati ya hayo masomo usiogope kujaribu.
all the best. Ahsante
Amemaliza Form four muulize ana Cheti asije akawa ana Leaving Certificate na Kusoma zoom college Utumishi itakua kazi kupata kazi.
 
Back
Top Bottom