Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Leo DSM hapa tunapopaita City centre, yaani hapatamaniki. Baada ya kunyesha mvua kwa takriban lisaa limoja, kila kona naona chemba zinatema maji machafu! Kwa sisi tusio na usafiri binafsi kwa kweli ni tatizo kubwa. Inatulazimu kukanyaga ki***si, dah yani kichefuchefu tupu.
Nataka kuipa jina siku ya leo, je, its kin***i day in Dar?
Nataka kuipa jina siku ya leo, je, its kin***i day in Dar?