.Natafuta mrembooo mwenye umri kuanzia miaka 24-26 awe mpenzi wangu.....bt awe tayari kuwa nami kwa upendo kabisa awe na kazi yake.....awe tayar kupima.......
kasema anatafuta wala siyo anamtafuta, huna huo urembo nini?.Lete picha yake na sisi tukusaidie kutafuta, umetoa taarifa polisi?
Igwe na wewe, umesahau vingine, hata uzito na urefu huwa vinapimwa.awe tayari kupima nini sasa,.......sema kitu gani maake siku hizi magonjwa ni mengi sana