Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,732
looohhh kuweni serious, niwatumie wa kuoka huku bukoba. Wana maji hao, yaani kwa mumeo uwe chonjo!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utingo we una wife?we unafanya kazi nae pia?je uko hapa town home unatoka na kurudi saa ngapi?
shosti majukumu hayakutinga ukaifahamu vizuri hii ishu!
Sioni ubaya kutafuta msaidizi ikiwa mume na mke wote wanafanya kazi nje ya nyumba, vyenginevyo hata mimi nashindwa kuelewa.Hivi ni uvivu au kitu gani,kwa nini kila mtu anatafuta msaidizi nashindwa kuelewa.
Sioni ubaya kutafuta msaidizi ikiwa mume na mke wote wanafanya kazi nje ya nyumba, vyenginevyo hata mimi nashindwa kuelewa.
Inawezekana ukawa uko "right", Shosti. Ulimwengu wa leo tunajaribu kurahisisha mambo ili kutaka kwenda na wakati, matokeo yake pale "unapojaribu" kutatua tatizo unashtukia unaanzisha tatizo jengine.hata kama mnafanya kazi nje ya nyumba,nafikiri mkijipangilia wewe na mumeo utaratibu mzuri kabisa hamuhitaji mtu wa kuwasaidia na vilevile inazidisha upendo kati yenu
Bado sijaona ambaye ametoa mchango wa kumsaidia huyu dada zaidi ya kulaumu na kurushana roho.
Vipi umepata? kama bado mie nina hizo sifa:smile-big:
be, umefanyaga wapi hiso kasi???
Shosti usilolijua ni kama usiku wa giza!
hawa wapo ila hawana guarantee
jana nikiwa mahali nikisubiri kuoshewa gari nilibahatika kuongea na wasichana wadogo wawili walioajiriwa kazi za kusaidia mama lishe,walinieleza kuwa wanalipwa sh 2,000 kwa kutwa lakini wakipata kazi ya mshahara wa kudumu,malazi na chakula watafurahi sana kwani katika hii ikitokea wanaumwa basi hawaingizi kitu kwa siku hiyo
kama bado unahitaji tuwasiliane uwajaribu hao