Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Mi kwa kweli naona kama internet ni njia nzuri ya kukutana na watu ila sio njia ya kuanzisha uhusiano wa karibu... labda sababu mi mshamba sijazowea internet na kuifanya sehemu ya maisha yangu?offcourse yanadumu..or you think mimi na wewe hatutadumu?