- Thread starter
- #41
Hivi Aminata, una maana hata wewe hujatulia b'se uko Jf? Hayo ni mawazo mgando. Jf ni kama mahali pengine wazuri na maboya wapo. Wangapi wako huko makanisani na ni makahaba wa kutupwa?umeona mbali mnooooooooooo nimefurai ulivomjibu