MADARAKA DANIEL
Member
- Oct 26, 2012
- 93
- 22
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,naishi dar-es-salaam.umefika muda muafaka wa mimi kuwa na mtu wa kutengeneza naye future yetu,lakini awe na sifa zifuatazo
- awe na umri kati ya miaka 18-20
- good physical appearance and facial expression
- angalau awe amemaliza form 4 na kuendelea
- mkristo ambaye ni mcha mungu wa ukweli
- awe na mpenzi ya kweli.