Huwezi kupata gari unayotaka iwe Ktk hali nzuri kwa bei hiyo...Ongeza helaaaWadau natafuta gari aina ya TOYOTA IST ya thamani isiyo zidi milioni 6. iwe kwenye hali nzuri.
Wadau natafuta gari aina ya TOYOTA IST ya thamani isiyo zidi milioni 6. iwe kwenye hali nzuri.
Bajeti iko chini mkuu...ukipata gari nzuri kwa bei hiyo bahati sana.