mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Natafuta gari la kununua gari used in TZ ya kununua No. B, C , Suzuki Kei, Toyota Cami, Terrios, na Toyota Vitz, liwe linatembea lisiwe na limbikizo la kodi , kama lina limbikizo unatakiwa nikinunua nakupeleka mwenyewe Ukariripie TRA, liwe na T000BBB, au T000 CCC mwenye nalo aweke bei hapa au ani -pm
Natafuta gari la kununua gari used in TZ ya kununua No. B, C , Suzuki Kei, Toyota Cami, Terrios, na Toyota Vitz, liwe linatembea lisiwe na limbikizo la kodi , kama lina limbikizo unatakiwa nikinunua nakupeleka mwenyewe Ukariripie TRA, liwe na T000BBB, au T000 CCC mwenye nalo aweke bei hapa au ani -pm