mi nauza ni suzuki vitara sport, haijawahi kuguswa kwenye engine, gear box kiufupi ni nzuri, tunaweza kuwasiliana kwa 0713 362898!naishi dar es salaam tanzania!
mi nauza ni suzuki vitara sport, haijawahi kuguswa kwenye engine, gear box kiufupi ni nzuri, tunaweza kuwasiliana kwa 0713 362898!naishi dar es salaam tanzania!
Mhhhhhhhhhhhh! Mtaibiwa hela bure ndugu. Kwa wale mnaoagiza magari japani, iepukeni kampuni inayojitanganza kwa web hii: Impreza Used Cars 41export.com. Owner wake anaitwa Akihiro Kainuma na kuna watanzania anaowatumia pia kwa kuwasiliana na wabongo wanaotaka magari toka kampuni hii. Jamaa ni tapeli hamna mfano, so watch out, utalizwa ujute milele. Ameshawaibia watanzania wengi mpaka sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.