happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
Acha uzushi wewe gari siku hizi ni neccessary
nani kasema gari sio necessary? umepanga chumba kimoja kwetu uswahilini unatusumbua na gari lako. kapange nyumba nzima ujinafasi
Acha uzushi wewe gari siku hizi ni neccessary
hahahaa afu ukute mwenye nyumba hana gari..anakomaje?..yaani this life is not fair..kuna nyumba moj aivi wapangaji woote wan amagari na wanayapaki apo nje mbele ya mwenye nyumba........mwenye nyumba hana gari...na analazimika kwenda kwa daladala ofisini kila siku na hataki lift ya mpangaji..........hahahaha nahisi anakaribia kugawa notis
Jamani mjini kuna foleni kusimama kwenye daladala shida wacha watu wanunue magari, ukijenga nyumba utapanda nyumba?
OKNipo Dar, na napendelea zaidi anayeuza hilo gari akiwa Dar itakuwa safi sana. Nataka SUV mkuu sio dedan
Jamani mjini kuna foleni kusimama kwenye daladala shida wacha watu wanunue magari, ukijenga nyumba utapanda nyumba?
Kuna landcruiser prado tx 5doors,1kz engine,manul,252300km, limetengenezwa mwaka 1999. Ipo kwenye hali nzuri bei 25m