payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Natumai Wana JF Wote mu Wazima Wa afya:
Natafuta Fremu Kwa Ajili Ya Biashara Kiruvya, Fremu iwe na sifa zifuatazo:
Kama unayo sehemu au unamfahamu mtu anaeweza kunisaidia kwa hili tafadhali tuwasiliane kwa namba 068222333, au tumia develo45@gmail.com
Natafuta Fremu Kwa Ajili Ya Biashara Kiruvya, Fremu iwe na sifa zifuatazo:
- Iwe Sehemu ya wazi barabarani ( Sehemu ambayo ni Visible)
- Iwe sehemu nzuri yenye kufikika na gari kubwa kama vile lori ( Yaani parking ya kutosha mbele ya fremu)
- Chumba kiwe na nafasi ya kutosha kwa nje
- Chumba kiwe kikubwa sq. metre
- Chumba kiwe na umeme wa Kujitegemea (Optional)
- Kuwe na Huduma za maji
- Chumba kiwe na Geti la nje imara
- Eneo liwe linapita watu wengi ( Busy area)
Kama unayo sehemu au unamfahamu mtu anaeweza kunisaidia kwa hili tafadhali tuwasiliane kwa namba 068222333, au tumia develo45@gmail.com