Natafuta frem za biashara msaada wenu jamani!

Mbaliche

JF-Expert Member
Jul 6, 2011
294
61
ndg zangu Jf naomba msaada wenu, nipate frem maeneo ya fuatayo, magomeni,mwananyamala,mansese, sinza,mssni, kawe,bugruni. Zinazo faa kwa biashara ya mchele na maharage. Sim 0768092950
 
Labda ungepeleka ombi lako kwenye 'Business and economy forum' ili uweze kupata msaada. Hii forum ni kwa ajili ya mahusiano.
 
Nenda Kinondoni Manyanya pale kituo cha daladala ukiwa unatokea magomeni, ukifika pale ulizia Ofisi za Madalali kama utakuwa na pesa siku hiyo hiyo utapata frem
 
Nenda Kinondoni Manyanya pale kituo cha daladala ukiwa unatokea magomeni, ukifika pale ulizia Ofisi za Madalali kama utakuwa na pesa siku hiyo hiyo utapata frem
<br />
<br />
mkuu na shukuru sana nime fanikiwa mungu akubariki.
 
Back
Top Bottom