Mpiga Nyoka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 283
- 122
Hivi siku hizi bado mnatongoza!? Jenga nae mazoea, mtanie tanie baadae akili kichwani kwako.
Mkizoena sana na demu hamna kutongozana sasa hapo tumia akili.
dah,mkuu ndipo moyo wangu ulipotuwama..Sina jinsi labda itokee substitute ghafla
Tatizo mkisikia neno 'kutongozaila hata siku moja usijisumu ukatongoza kwa simu coz utakuna na majibu mwenyewe utakataka na kuizima hiyo simu yako
Jamani ninampenda huyu binti,tatizo sijui ni woga au ndo nimempenda sana au swaga zinagoma au ndo udomo zege! Kwani kwa wasichana wengine siogopi ila huyu,dah hata kumsalimia najishtukia.Sijui nianzeje!
Nunua msokoto mmoja wa bangi,kabla hujavuta tia nia yako huku ukilitaja jina lake!!
Jamani ninampenda huyu binti,tatizo sijui ni woga au ndo nimempenda sana au swaga zinagoma au ndo udomo zege! Kwani kwa wasichana wengine siogopi ila huyu,dah hata kumsalimia najishtukia.Sijui nianzeje!
the same happens to me. Kuna binti yupo so close to me as open friend and i need her to be my lover but the difficult is how i can start to say.!!
...Ni kweli ila yule uliyempenda sana mbaya zaidi unamheshimu sana naye anajiheshimu sana..Zile swaga za madem wa kawaida unaziona ni za kizembe vibaya.