Kiwi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 1,054
- 990
Heshima zenu wakuu!
Ninahitaji kuwasiliana na NGO moja inaitwa TATEDO (Tanzanian Traditional Energy Development and Environment Organisation). Nimecheki website yao kuna namba za simu tu (landline) ambazo hazipatikani. Pia kuna namba moja ya mobile lakini nayo kila nikipiga haipatikani. Sikuweza kupata email yao wala jinsi nyingine yoyote ya kuwasiliana nao. Naomba kama kuna anayefahamu anwani yao ya email au hata namba nyingine ili niweze kuwasiliana nao. Nina shida ya haraka kiasi ningependa kuwasiliana nao katika kipindi cha wiki moja.
Nashukuru kwa msaada wenu!
Ninahitaji kuwasiliana na NGO moja inaitwa TATEDO (Tanzanian Traditional Energy Development and Environment Organisation). Nimecheki website yao kuna namba za simu tu (landline) ambazo hazipatikani. Pia kuna namba moja ya mobile lakini nayo kila nikipiga haipatikani. Sikuweza kupata email yao wala jinsi nyingine yoyote ya kuwasiliana nao. Naomba kama kuna anayefahamu anwani yao ya email au hata namba nyingine ili niweze kuwasiliana nao. Nina shida ya haraka kiasi ningependa kuwasiliana nao katika kipindi cha wiki moja.
Nashukuru kwa msaada wenu!