kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
Ndugu wanajamii, salaam.
Kwa mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba kwa ajili ya ofisi namkaribisha.
Nahitaji chumba cha ofisi kwa ajili ya kijikampuni changu.
Mahali-Dar es salaam
Eneo-kuanzia mwenge-mikocheni-ubungo mpaka city centre
Chumba kinaweza kuwa ghorofani ila isizidi ghorfa ya 3
Ukubwa wa chumba-sqm 10-20
Angalizo-Siyo majengo ya aina ya PPF tower au Benjamini Mkapa tower-siyawezi hayo.
Shukrani
Kwa mwenye kuweza kunisaidia kupata chumba kwa ajili ya ofisi namkaribisha.
Nahitaji chumba cha ofisi kwa ajili ya kijikampuni changu.
Mahali-Dar es salaam
Eneo-kuanzia mwenge-mikocheni-ubungo mpaka city centre
Chumba kinaweza kuwa ghorofani ila isizidi ghorfa ya 3
Ukubwa wa chumba-sqm 10-20
Angalizo-Siyo majengo ya aina ya PPF tower au Benjamini Mkapa tower-siyawezi hayo.
Shukrani