AridityIndex
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 149
- 38
Helo,
Ndugu wapendwa kama nilivyoeleza hapo juu, mimi ni mfanyabiashara wa vipodozi, vifaa vya kufanyia usafi majumbani, na Nguo za watoto from 0 - 12 years old. Kwa sasa nahitaji mshirika wa biashara atakayeniletea bidhaa hizi angalau mara moja kwa kila kipindi cha miezi 2 au mara moja kila mwezi.
Unaweza kunitumia sms ya kuonyesha interest kwenye simu yangu ya mkononi. +32 488 152 485. au E-mail; cleandirectcosmetics@gmail.com
Ndugu wapendwa kama nilivyoeleza hapo juu, mimi ni mfanyabiashara wa vipodozi, vifaa vya kufanyia usafi majumbani, na Nguo za watoto from 0 - 12 years old. Kwa sasa nahitaji mshirika wa biashara atakayeniletea bidhaa hizi angalau mara moja kwa kila kipindi cha miezi 2 au mara moja kila mwezi.
- Nguo kutoka Malaysia, Thailand, Singapore na Indonesia ni bora zaidi.
- Vipodozi ni vingi lakini vikiwemo, vya Dove, Nivea, Gadner, perfumes, orodha ipo tayari kwa atakayekuwa interested.
- Ambaye yuko interested anaweza kuni PM kwa mawasiliano zaidi.
- Duka lipo Mtwara mjini.
- Frame ya biashara ni ya kwangu na duka lipo katika potential area.
Unaweza kunitumia sms ya kuonyesha interest kwenye simu yangu ya mkononi. +32 488 152 485. au E-mail; cleandirectcosmetics@gmail.com