natafuta boyfriend

Sijui kwa nini siamini kuwa una miaka 25!!!
Umeandika kitoto sana nahisi umeoverstate miaka
hivi kweli miaka 25 ni mingi sana kwa msichana lakini wewe umeandika kitoto sana na hata utakaowapata humu watakumega tu na hawatokuchukulia serious
embu weka post vizuri
we boyfriend tu yoyote sawa huna vigezo wewe??
Au kama upo kibiashara sawa ila kama upo serious fungua id mpya kabisa
kwanza jina tu beauty gal halafu unatafuta mchumba?
Si mashaka haya
 
Dah....!! Sikuliona hili tangazo mapema, kama hujapata bado njoo PM maana una sifa ninazozihitaji...tehe teh...
 
Mi natafuta binti mfupi nashukuru mungu amenipatia
ni pm baby tuendelee na maisha
 
Km wewe sio great thinker huwezi pata rafiki hata kidogo, kule FB ndo kwa mandondocha, hapa vipi vya ukweli vinatoka.:biggrin:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom