huzayma
Senior Member
- Mar 14, 2011
- 126
- 31
- Thread starter
- #41
Watanzania wezako wamekushinda ndio utaweza kuishi na watu wa mataifa mengine? Ww unadanganya nafsi yako tu, kua na boy friend wa nje ya nchi hakuwezi kukuletea mabadiliko yeyote bila ww kubadilika kwanza! Jiangalie ww mwenyewe kitabia ukoje? Na hao uliokua nao mnaendana kitabia? Maana mwanamke akiwa mzuri tu anakua na majivuno na dharau akitegemea kua coz ni mrembo atapata mwaname yeyote anayemtaka, matokeo yake anachezewa tu na kupigwa chini kila mara.
kisha umeongea kwa hasira. mie si nimesema huko mwanzo kuwa tatizo langu ni wivu, TZ TUNAOLEWA WAWILI WAWILI WATATU NA kuendelea, mimi kushare ndo siwezi hata nikijitahidi, ntabadilikaje na wanasema wivu ni kilema, ulishaonaga kilema kikibadilika?