Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Ngoja nimuite
non citizen,ulitaka kusema nini?:scared:
Watanzania wezako wamekushinda ndio utaweza kuishi na watu wa mataifa mengine? Ww unadanganya nafsi yako tu, kua na boy friend wa nje ya nchi hakuwezi kukuletea mabadiliko yeyote bila ww kubadilika kwanza! Jiangalie ww mwenyewe kitabia ukoje? Na hao uliokua nao mnaendana kitabia? Maana mwanamke akiwa mzuri tu anakua na majivuno na dharau akitegemea kua coz ni mrembo atapata mwaname yeyote anayemtaka, matokeo yake anachezewa tu na kupigwa chini kila mara.hii kweli kweli tuache utani.
Natafuta boyfriend upweke umenichosha , nimejitahidi ila kumbe inakuwa ngumu.
vigezo sijuwi conditions hizi hapa.
1. NON CITIZEN, from any country.
2. Above 40 umri chini ya hapo No
3. Asiwe na relation na mwanamke mwengine.
Hivi wa vigezo hivi wanapatikana humu kweli? dah! mie watanzania wenzangu wamenishinda.ngoja nione.
haya majibu yake ni kwenye chumba cha interview.