natafuta boyfriend

haya bana tusio na umri wa kugombea urais kwa mujibu wa katiba ya sasa ngoja tukae kimya....
 
Labda hujanielewa mimi ni raia wa tanganyika hiyo tz yenu ya usanii mimi siijui [back to my younger age] ndio maana nasema sio mtz
 
Nenda U-turn blogsport kwa mange kimambi atakusaidia kupata foreigners! Anafanya biashara ya human trafficking!
 
hii kweli kweli tuache utani.

Natafuta boyfriend upweke umenichosha , nimejitahidi ila kumbe inakuwa ngumu.
vigezo sijuwi conditions hizi hapa.

1. NON CITIZEN, from any country.
2. Above 40 umri chini ya hapo No
3. Asiwe na relation na mwanamke mwengine.
Hivi wa vigezo hivi wanapatikana humu kweli? dah! mie watanzania wenzangu wamenishinda.ngoja nione.
Watanzania wezako wamekushinda ndio utaweza kuishi na watu wa mataifa mengine? Ww unadanganya nafsi yako tu, kua na boy friend wa nje ya nchi hakuwezi kukuletea mabadiliko yeyote bila ww kubadilika kwanza! Jiangalie ww mwenyewe kitabia ukoje? Na hao uliokua nao mnaendana kitabia? Maana mwanamke akiwa mzuri tu anakua na majivuno na dharau akitegemea kua coz ni mrembo atapata mwaname yeyote anayemtaka, matokeo yake anachezewa tu na kupigwa chini kila mara.
 
Unataka umri zaidi ya miaka 40 then unasema ni boyfriend? We sema unatafuta MANFRIEND! Au kibabu friend! Huna lolote unataka upate shugadadi tu mshazoea kupiga mizinga vijana wako makini. We pendelea kwenda pale kwa king kikii anapopiga muziki kuna vibabu vitakuokota.
 
Mtu wa miaka 40 asiwe na relation na mwanamke mwingine? Hapo unataka kupata nyoka wa kibisa! Au we utakuwa kipori mpaka unaogopa competition. We jimwage kwa yeyote tu mama.
 
Mh! Miaka 40 ni boy? Au ulikuwa unamaanisha mpenzi wa kiume ndo anaitwa boyfriend?, Non citzen? Hebu jitahd kuzungumza kiswahili dada acha kujijengea kasumba mbaya kuwa ukiandika kiingereza chako utaonekana MSOMI(samahani lakini kama nimekukwaza)
 
Labda hujanielewa mimi ni raia wa tanganyika hiyo tz yenu ya usanii mimi siijui [back to my younger age] ndio maana nasema sio mtz

he! wale wenzetu huwatambuwi? sasa unanipa mtihani mwengine Tanganyika itakuwa nchi gani eti?
 
Back
Top Bottom