Mimi ni msichana wa miaka 22, natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa, mwenye elimu angalau bach. mkristo ambae ana umri usiozid 25yrs
kama umesoma elimu yako ni Chuo,A/O level maana umesema umesoma na umejiajiri hapa niko na doubt au tuseme we mkubwayah, mimi nimeshasoma na nimejiajiri mwenyewe. umefika wakati wangu wa kupata mwenzangu wa kuishi naye
Du Dada unataka awe na miaka 25 na awe na Bach na awe na kazi? au ni mwanafunzi mwenzako maana km STD 1 alianza na miaka 7 basi hadi Eng ya miaka 4 atakuwa na 22 ukipewa underpro kazini kwake ni mgeni sana kimaisha, sikubishii ila tafuta na mkubwa kuongeza angalau 30 la sivyo ww utammilki
no. yako mbona ni zile zilizotolewa kwenye gazeti lililofungiwa na nimepiga haipatikani hebu fungua km sio za uwt
Eh mbona km ulinilenga mimi kabsa?Haya Embu nipm haraka uwahi bahati isikupite..ukichelewa utakuta mwana si wako!!
ivi nyie kumbe mpo yan nawatafuta mbaya...ok fanya kweli ni-PM fasta,ila kabla ya hayo nina umri wa miaka 37,nimeishia darasa la tatu,kuhusu dini usihofu niko formation center!!!Mimi ni msichana wa miaka 22, natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa, mwenye elimu angalau bach. mkristo ambae ana umri usiozid 25yrs
kongosho acha kunibania nipo hapa...mpenzi ihanda ebu ni pm basi nakusubiria....wee binti hujui utakalo, maana hata vigezo vyako si realistic sana.
Miaka 25 awe na kazi na bachala digirii??
Hamo!
mbona mie ndio Talia??
Huyu ni Janneth.
Mimi ni msichana wa miaka 22, natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa, mwenye elimu angalau bach. mkristo ambae ana umri usiozid 25yrs