Natafuta boyfriend awezaye kuwa mume

Je huyo muhubiri hilo andiko la wanawake kutafuta wachumba mitandaoni kuwa ni miongoni mwadalili za siku za mwisho kalitoa kitabu gani? ikiwezekana atupe andiko maana mitandao haikuwepo wakati wa mitume na manabii.
 
Je huyo muhubiri hilo andiko la wanawake kutafuta wachumba mitandaoni kuwa ni miongoni mwadalili za siku za mwisho kalitoa kitabu gani? ikiwezekana atupe andiko maana mitandao haikuwepo wakati wa mitume na manabii.

watu wanapenda kupotosha jamii kwa injili za kujitungia.. kila mtu akiamka anasema lake.. ninachojua mm biblia imeandikwa kuwa siku za mwisho wanawake saba watamuendea mwanaume mmoja wakitaka kuolewa japo wapate jina la mrs.
 
kuna mhubiri mmoja juzijuzi nilimsikia anadai moja ya dalili za kuwa dunia imekwisha ... ni wanawake kutafuta wanaume wa kuwaoa mitandaoni!? Nilidhani mpuuzi kumbe ....


Huyo muhubiri hilo andiko kalitoa kitabu gani maana mitandao hikuwepo enzi za manabii na mitume? ikiwezekana tuandikie namba ya andiko hilo nasi tufahamu.
 
Je huyo muhubiri hilo andiko la wanawake kutafuta wachumba mitandaoni kuwa ni miongoni mwadalili za siku za mwisho kalitoa kitabu gani? ikiwezekana atupe andiko maana mitandao haikuwepo wakati wa mitume na manabii.

Kwamba siku za mwisho wanawake saba watamng'ang'ania mwanaume mmoja na kumtaka awaoe ili kuwaondolea aibu yao, na kumwambia tutakula chakula chetu na kujitegemea.
 
SAUT wanaume wote wale umekosa.Ntakusaidia kunajamaa angu pale mwaka wa pili PR kamauko tiari follow me on FB mjeshi mike.......
 
"asante kwa kuwa muwazi lakini ungeweka wasifu wako kwa ujumla pamoja na level ya elimu uliyonayo,unajishughulisha na nini,hii ingependeza sana,nitashukuru kama utafanya hivyo first."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom