Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
weka picha yako
Je huyo muhubiri hilo andiko la wanawake kutafuta wachumba mitandaoni kuwa ni miongoni mwadalili za siku za mwisho kalitoa kitabu gani? ikiwezekana atupe andiko maana mitandao haikuwepo wakati wa mitume na manabii.
kuna mhubiri mmoja juzijuzi nilimsikia anadai moja ya dalili za kuwa dunia imekwisha ... ni wanawake kutafuta wanaume wa kuwaoa mitandaoni!? Nilidhani mpuuzi kumbe ....
am at SAUT Mwanza, BaED 1yr 22 yrs,
am at SAUT Mwanza, BaED 1yr 22 yrs,
weka picha yako
Je huyo muhubiri hilo andiko la wanawake kutafuta wachumba mitandaoni kuwa ni miongoni mwadalili za siku za mwisho kalitoa kitabu gani? ikiwezekana atupe andiko maana mitandao haikuwepo wakati wa mitume na manabii.