Acer yenyewe ni mpya kabisa ,tatiso niliwasha pasipo kuichaji kwa kwa muda mrefu nadhani ndio tatiso likaansia hapo.mwenye battery anijuse tumake biashara
Mkuu tunaweza kukuletea hiyo battery mpaka Dar es Salaam kwa bei ya $95.00. Tutakuagizia kutoka Marekani na kukuletea mpya mpaka Dar es Salaam. Ikifika utakwenda kulipia na kuchukua battery yako. Bei hii inachanganya , kila kitu, ushuru, usafiri na insurance. Tuandikie kwenye pacificamarine@yahoo.com ili tuzungumze biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.